TWEA Updates

Washiriki toka Ushirika wa MADIRISHA

USHIRIKA WA WANAWAKE WA – MADIRISHA WAWA KIVUTIO KATIKA KONGAMANO LA USHIRIKA LILIOANDALIWA NA TCDC- DODOMA

Chama cha Ushirika wa Viwanda cha Wanawake cha MADIRISHA, kimekuwa na wakati mzuri katika kongamano la pili la utafiti wa ushirika uliomalizika leo mkoani Dodoma. Akiripoti kutoka kwenye kongamano hilo, Afisa habari wa MADIRISHA Bi Anna Mary Leone Kavishe anasema kwamba, nafasi waliyopewa ushirika huo, katika mkutano huo ulikuwa ni wa kipekee na wenye kutia …

USHIRIKA WA WANAWAKE WA – MADIRISHA WAWA KIVUTIO KATIKA KONGAMANO LA USHIRIKA LILIOANDALIWA NA TCDC- DODOMA Read More »

GS1 NEEC MOROGORO

GS1 Tanzania yashiriki Maonesho ya Tano ya Mifuko na Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi -NEEC Morogoro

Taasisi ya uwezeshaji wananchi kiuchumi NEEC imeandaa maonesho ya mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi nchini ya tano. Kupitia maonesho hayo taasisi ya GS1 Tanzania nayo imealikwa kushiriki. Ushiriki wa GS1 Tanzania katika maonesho hayo unatija kubwa sana sio tu kwa viwanda pekee bali kwa wazalishaji wanawake wa Mkoa wa Morogoro ambao wanaweza kupata huduma ya …

GS1 Tanzania yashiriki Maonesho ya Tano ya Mifuko na Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi -NEEC Morogoro Read More »

Wanachama katika Kongamano la Ushirika Dodoma Leo

Ushirika wa Viwanda vya Wanawake nchini washiriki kongamano la Ushirika- TCDC

Tume ya Maendeleo ya Ushirika nchini (TCDC) chini ya Uongozi wa Mrajisi wa Tume, Ndugu Dr Benson Ndiege kwa mwaka wa pili mfululizo umekuwa ukiandaa Kongamano la Utafiti juu ya maendeleo mbalimbali ya ushirika nchini. Kongamano hilo hutumika kama sehemu ya kutoa mrejesho ya mafaniko mbalimbali yanayopatikana katika kujenga  ushirika nchini Tanzania. Vyama vyote vya …

Ushirika wa Viwanda vya Wanawake nchini washiriki kongamano la Ushirika- TCDC Read More »

Ziara ya viongozi wa Madirisha - Industrial Park

VIWANDA VYA USHIRIKA WA WANAWAKE WA VIWANDA KUJENGWA

Mwenyekiti wa Ushirika wa viwanda na ushirika vya wanawake pamoja na wanachama wake wote wameonesha nia yao kubwa kuona viwanda vichache vinaweza kujengwa. Bidhaa za ushirika wa madirisha zimeanza kujitokeza katika sekta mbalimbali za ushirika wanazo shiriki kama Batiki, Asali, Mlonge, Mchele, Maharage, Samaki, Shanga na Urembo nk. Maushirika haya yanalenga katika kujenga nafasi ya …

VIWANDA VYA USHIRIKA WA WANAWAKE WA VIWANDA KUJENGWA Read More »

Mkuu wa Mkoa AkItoa Maelekezo kwa Wanawake Jukwaa Mkoa wa DSM

Kikao kazi cha Jukwaa la Wanawake Mkoa wa DSM 2022 chafana.

Mkoa wa Dar Es Salaam umejizatiti katika kujenga kizazi kipya cha wanawake wazalishaji ambao watazalisha kwa Ushirika. Kikao kazi kilichofanyika havi karibuni kiliazimia mambo mengi ya msingi na kukubaliana kwamba ushirika ndio nguvu ya mnyonge. Viongozi wote wanaosimamia jitihada mbalimbali za maendeleo ya wanawake mkoa wa DSM walishirikishwa katika kikoa hicho. Tumefarijika kwa Ofisi ya …

Kikao kazi cha Jukwaa la Wanawake Mkoa wa DSM 2022 chafana. Read More »

SIMULIZI ZA LUKUNDO

KITABU CHA SIMULIZI ZA LUKUNDO KINAPATIKANA SASA

Kitabu murua kwa ajili ya watu kujisomea cha simulizi za lukundo sasa kinapatika kwa njia ya bei ya jumla na rejareja. Kitabu hiki kinapatika katika ofisi za TWEA zilizopo Kunduchi Beach, Mtaa wa Kilongawima Nyumba na 93. Kitabu cha Simulizi za Lukundo ni kitabu kilishojitambulisha kama kitabu cha kiafrika chenye nia ya kuonesha neema mbalimbali …

KITABU CHA SIMULIZI ZA LUKUNDO KINAPATIKANA SASA Read More »

Wanawake wa Geita katika Darasa La Ushirika wa VIWANDA VYA MADIRISHA

Wanawake Mkoani Geita waanzisha Ushirika wa Kufungasha mchele

Wanawake Mkoani Geita waanzisha Ushirika wa Ufungashaji Mchele Tume ya  Ushirika nchini imeamua kwa dhati kulivalua njuga suala la wanawake na viwanda kwa kuweza kufadhili mafunzo maalumu yaliyofanyika mkoani Geita kwa ajili ya kuwajengea uwezo wanawake wa mkoa wa Geita. Kama mtaalamu wa ushirika huu mpya wa viwanda vya wanawake tuliweza kuhamasisha na kufundisha zaidi …

Wanawake Mkoani Geita waanzisha Ushirika wa Kufungasha mchele Read More »

Mafunzo ya TWEA -Persoanal Development Training kwa wanawake

TWEA-Personal Development Training na Wanawake Tanzania

Wanawake wengi walihitaji elimu kubwa sana ya kuwatoa kwenye mashinikizo ambayo mengi yametokana na mfumo wa kimaisha uliopo. Mafunzo ya TWEA ya TWEA Personal Development Training hutolewa kwa vikundi au mtu mmoja mmoja katika kupata mwanga wa mambo ya msingi ambayo yanahita wanawake kutoka kwenye mazoea ya kimaisha ili waweze kuziona fursa na kuzitambua na …

TWEA-Personal Development Training na Wanawake Tanzania Read More »