TWEA- INAKUKARIBISHA KWENYE-MAFUNZO YA WANAWAKE NA UONGOZI WA USIMAMIZI WA MAKAMPUNI -WANAZOENDESHA- TAREHE 30.06.2022.
TWEA tumejikita katika kutoa kozi maalum ya Uongozi wa Kitaasisi. Unajua toka harakati za kumkomboa mwanamke zimeanza nchini na duniani kote akina mama wamekuwa watu wakuchangamkia fursa. Wengi wameishia kufungua kampuni zao. Kikubwa kinachofanyika sasa kupitia TWEA AFRICA-ni kufundisha uongozi wa kuendesha taasisi zao. Kuwa na kampuni ni mzigo mwengine tumejitishwa yataka mbinu sahihi za …









