MWENYEKITI WA MAJUKWAA YA WANAWAKE KUFANIKISHA UANZISHWAJI WA MFUKO WA MAENDELEO YA WANAWAKE WA KIISLAM NCHINI TANZANIA
Mwenyekiti wa Jukwaa La Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi, Bi. Fatma Kange,Ashiriki Futari Maalum yaMayatima,Wajane naWatoto wenye mahitaji Maalum iliyoandaliwa na BAKWATA-JUWAKITA. Mhe Mufti BAKWATA aliweza kufungua Ifatar hiyo kwa DUA. KATIKA IFTAR hiyo baada ya Risala ya JUWAKITA,Mwenyekiti ameahidi kuwasaidia Umoja wa Wanawake wa Kiislam Kutimiza Malengo yao. Jambo la Msingi Kwaniaba ya Viongozi wa Mwajukwaa, …









